![https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjVDqDEcpV-UFAgVzkp2PW0JKCFnH8GqHhSvrd8cO6nU1Oebqw228-LHeFhFabavP-L6Q2zNKKeyVbO3pC-EXaZFpZV9XTJ5jIarw_bDn_AZqA87E8XS38VBszHSYYnPJMnpKUCSZ9Sf2Y/s1600/look.jpg](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjVDqDEcpV-UFAgVzkp2PW0JKCFnH8GqHhSvrd8cO6nU1Oebqw228-LHeFhFabavP-L6Q2zNKKeyVbO3pC-EXaZFpZV9XTJ5jIarw_bDn_AZqA87E8XS38VBszHSYYnPJMnpKUCSZ9Sf2Y/s640/look.jpg)
Sasa kutokana na watu kuhitaji kiki basi Idriss Sultan ambae kwa sasa anatoka na Wema amenzisha kitu kinaitwa KikiPesa. Yani kama unahitaji kiki kutoka kwake lazma umlipe kwani kupitia yeye unaweza kupata pesa au umaarufu kupitia jina lake. Unaweza mskiliza mwenyewe akielezea huduma yake hiyo mpya hapa kwenye video...