BONGOCLAN Tanzania

Website yetu ipo katikamatengenezo

Copyright © BongoClan Tanzania™ | Published By Gooyaabi Templates | Powered By Blogger
Design by WebSuccessAgency | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com

HABARI ZILIZOSOMWA SANA WIKI HII

Wema ni kweli anavuta Bangi???

Audio: Sikiliza na Download Non Stop Mix Mpya ya DJ D Ommy wa Times Fm DJ D-Ommy wa 100.5 Times Fm amechia non stop mix mpya aliyoipa jina la Washawasha. Hii ni Non Stop Mix ya  saba kutoka kwenye mikono ya DJ huyo.
“Non-Stop Mixx hii nimeipa jina la "WASHAWASHA NON-STOP MIXX" sababu ni moja kati ya style & skillz zangu ninazotumia katika KuDj ili kuleta Ladha nzuri kwa msikilizaji wangu,Si unajua mtu akiguswa na yale majani ya WashaWasha inavyokua?.But hii ni WashaWasha ya Shangwe za burudani bora zaidi kutoka kwangu.” Amesema D Ommy kwenye maelezo yake.
Ameeleza kuwa jina la project hiyo limebuniwa na Jabir Saleh aka Kuvichaka, mtangazaji wa vipindi vya The Jump Off na Bongo Dot Home vya 100.5 Times Fm.
Enjoy!