DJ D-Ommy wa 100.5 Times Fm amechia non stop mix mpya aliyoipa jina
la Washawasha. Hii ni Non Stop Mix ya saba kutoka kwenye mikono ya DJ
huyo.
“Non-Stop Mixx hii nimeipa jina la "WASHAWASHA NON-STOP MIXX" sababu ni moja kati ya style & skillz zangu ninazotumia katika KuDj ili kuleta Ladha nzuri kwa msikilizaji wangu,Si unajua mtu akiguswa na yale majani ya WashaWasha inavyokua?.But hii ni WashaWasha ya Shangwe za burudani bora zaidi kutoka kwangu.” Amesema D Ommy kwenye maelezo yake.
Ameeleza kuwa jina la project hiyo limebuniwa na Jabir Saleh aka Kuvichaka, mtangazaji wa vipindi vya The Jump Off na Bongo Dot Home vya 100.5 Times Fm.
Enjoy!
“Non-Stop Mixx hii nimeipa jina la "WASHAWASHA NON-STOP MIXX" sababu ni moja kati ya style & skillz zangu ninazotumia katika KuDj ili kuleta Ladha nzuri kwa msikilizaji wangu,Si unajua mtu akiguswa na yale majani ya WashaWasha inavyokua?.But hii ni WashaWasha ya Shangwe za burudani bora zaidi kutoka kwangu.” Amesema D Ommy kwenye maelezo yake.
Ameeleza kuwa jina la project hiyo limebuniwa na Jabir Saleh aka Kuvichaka, mtangazaji wa vipindi vya The Jump Off na Bongo Dot Home vya 100.5 Times Fm.
Enjoy!