BONGOCLAN Tanzania

Website yetu ipo katikamatengenezo

Copyright © BongoClan Tanzania™ | Published By Gooyaabi Templates | Powered By Blogger
Design by WebSuccessAgency | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com

HABARI ZILIZOSOMWA SANA WIKI HII

Wema ni kweli anavuta Bangi???



 Mkazi wa Mikocheni na mpenzi wa kinywaji cha Tusker Bw. Gaspar Makongoro (38) (katikati) akizungumza na mshereheshaji wa promosheni ya Fanyakweli Kiwanjani Gadner Habash (kushoto) wakati wa promosheni ya Tusker Fanyakweli Kiwanjani katika viwanja vya sanaa vilivyopo Legho, Sinza jijini Dar es salaam katika promosheni ya Tusker fanya kweli kiwanjani .Anaeangalia (kulia) ni balozi wa bia hiyo Veronica Mbilinyi.
  Msimamizi wa Mauzo wa Kampuni ya bia ya Serengeti kanda ya Sinza na Mwenge Anitha Moshi akimvalisha fulana mkazi wa Changanyikeni Honest Oscar kwenye hafla ya kuzipongeza baa 7 zilizo kwenye mkondo mmoja ambazo kwa pamoja ziliibuka baa za wiki kwenye shindano la Tusker Fanyakweli Kiwanjani lililofanyika katika viwanja vya sanaa vilivyopo Legho, Sinza jijini Dar es salaam. Baa hizo ni Amigos, Massawe, Dagaa dagaa, Sina Contena, Saa junction, Chua pub na Lucy pub.
 Mkazi wa Sinza Bw. Nasib Ngoya (kulia) akionyesha zawadi yake  ya mfuko wenye fulana aliopewa katika hafla ya kuzipongeza baa 7 zilizo kwenye mkondo mmoja ambazo kwa pamoja ziliibuka baa za wiki kwenye shindano la Tusker Fanyakweli Kiwanjani lililofanyika katika viwanja vya sanaa vilivyopo Legho, Sinza jijini Dar es salaam. (Katikati) ni Mtangazaji wa redio Efm na mshereheshaji wa Kampeni ya Tusker Fanyakweli Kiwanjani Gadner Habash na Anaeshuhudia (kushoto) ni Meneja mipango na Matukio-SBL Lulu Mduma.
 Mpenzi wa kinywaji cha Tusker na mkazi wa Sinza Rosemary John (Kulia) akifurahi kwa pamoja na Meneja Mipango na matukio-SBL Lulu Mduma (kushoto) baada ya kukabidhiwa zawadi ya fulana kwenye promosheni ya Tusker Fanyakweli Kiwanjani ambayo ilifunga kambi katika viwanja vya sanaa vilivyopo Legho, Sinza jijini Dar es salaam kusherekea ushindi wa baa zaidi ya sita zilizo kwenye mkondo mmoja ambazo kwa pamoja ziliibuka washindi wa wiki wa promosheni hiyo inayoendeshwa na bia ya Tusker. Baa hizo ni Amigos, Massawe, Dagaa dagaa, Sina Contena, Saa junction, Chua pub na Lucy pub.