BONGOCLAN Tanzania

Website yetu ipo katikamatengenezo

Copyright © BongoClan Tanzania™ | Published By Gooyaabi Templates | Powered By Blogger
Design by WebSuccessAgency | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com

HABARI ZILIZOSOMWA SANA WIKI HII

Wema ni kweli anavuta Bangi???

Mkazi wa Mbezi Beach jijini Dar es salaam, Mlai Abraham akipokea zawadi ya fulana toka kwa Msimamizi wa Mauzo ya Kampuni ya bia ya Serengeti kanda ya Mbezi beach Obedi Salema katika hafla ya kuipongeza baa ya Coast Pub ya Mbezi Beach jijini Dar es salaam ambayo iliibuka mshindi wa wiki kwenye promosheni inayoendelea ya Tusker Fanyakweli Kiwanjani.

Mpenzi wa bia ya Tusker na mkazi wa Mbezi Beach jijini Dar es salaam, Jane Jeva (katikati) akipokea zawadi yake ya mfuko wenye fulana toka kwa Msimamizi wa Mauzo ya Kampuni ya bia ya Serengeti kanda ya Mbezi beach Obedi Salema (Kushoto) katika hafla ya kuipongeza baa ya Coast Pub Tangi Bovu-Mbezi Beach jijini Dar es salaam mara baada ya baa hiyo kuibuka mshindi wa wiki kwenye kampeni ya Fanyakweli Kiwanjani inayoendeshwa na bia ya Tusker.

Mteja wa bia ya Tusker Bi. Elizabeth Ulomi (katikati) akizungumza na mshereheshaji wa kampeni ya Fanyakweli Kiwanjani Gadner Habash (kushoto) kabla ya kupokea zawadi yake ya mfuko na fulana wakati wa hafla ya kuipongeza baa ya Coast Pub iliyopo Tangi Bovu-Mbezi beach jijini Dar es salaam ambayo iliibuka mshindi wa wiki kwenye kampeni ya Fanyakweli Kiwanjani inayoendeshwa na bia ya Tusker. Akijiandaa kutoa zawadi hiyo (kulia) ni Msimamizi wa Mauzo ya Kampuni ya bia ya Serengeti kanda ya Mbezi beach Obedi Salema. Tofauti na jiji la Dar, kampeni hiyo pia inaendelea mikoa mbalimbali nchini kama Arusha, Moshi, Mwanza, Morogoro na Mbeya.

Mpenzi wa bia ya Tusker na mkazi wa Kimara-Korogwe Bw. Edward Ukawa akipokea zawadi yake ya fulana sambamba na bia ya bure toka kwa Msimamizi wa Mauzo ya Kampuni ya bia ya Serengeti kanda ya Ubungo Victor Mhindi katika hafla ya kuipongeza baa ya Miti Mitatu ya Kimara-Korogwe jijini Dar es salaam mara baada ya baa hiyo kuibuka mshindi wa wiki kwenye kampeni ya Fanyakweli Kiwanjani inayoendeshwa na bia ya Tusker. Edward aliimwagia sifa bia hiyo kuwa ni laini na humburudisha pindi anapoitumia.

Mkazi wa Kimara Steven Kiswanta (Katikati) akizungumza na mshereheshaji wa kampeni ya Fanyakweli Kiwanjani Gadner Habash (kushoto) kabla ya kukabidhiwa zawadi yake ya fulana na bia za bure katika hafla ya kuipongeza baa ya Miti Mitatu iliyopo Kimara-Korogwe jijini Dar es salaam ambayo iliibuka mshindi wa wiki kwenye kampeni ya Fanyakweli Kiwanjani inayoendeshwa na bia ya Tusker. (Kulia) ni Msimamizi wa Mauzo ya Kampuni ya bia ya Serengeti kanda ya Ubungo Victor Mhindi.

Bi. Margret Adeli akizungumza na Mshereheshaji wa promosheni ya Tusker Fanyakweli Kiwanjani Gadner Habash (kulia) kabla ya kukabidhiwa zawadi yake ya fulana, mfuko wa kufanyia manunuzi na bia za bure katika hafla ya kuipongeza baa ya Miti Mitatu iliyopo Kimara-Korogwe jijini Dar es salaam ambayo iliibuka mshindi wa wiki kwenye kampeni ya Fanyakweli Kiwanjani inayoendeshwa na bia ya Tusker. (Kushoto) ni balozi wa bia ya Tusker Veronica Mbilinyi.