BONGOCLAN Tanzania

Website yetu ipo katikamatengenezo

Copyright © BongoClan Tanzania™ | Published By Gooyaabi Templates | Powered By Blogger
Design by WebSuccessAgency | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com

HABARI ZILIZOSOMWA SANA WIKI HII

Wema ni kweli anavuta Bangi???

Prof. Mwandosya amenukuliwa akisema kuwa Magufuli haifahamu na haijui CCM kwa kuwa hajawai kuwa hata mjumbe wa tawi la CCM.

Aidha ameweka wazi kutoridhishwa na mchakato uliofanywa na Kamati Kuu kuipata tano bora na hatimae Magufuli.

Anasema kamati kuu haikuwa na mvuto kiasi kwamba Mwenyekiti J.Kikwete hakuwa anajiamini,alifika wakati ana-adress kwa mwenyekiti na kujishtukia "kumbe mwenyekiti ni mimi mwenyewe".

Profesa amesisitiza kuwa watu walikuja na majina mifukoni kwani majina yalivuja kabla hata vikao.