BONGOCLAN Tanzania

Website yetu ipo katikamatengenezo

Copyright © BongoClan Tanzania™ | Published By Gooyaabi Templates | Powered By Blogger
Design by WebSuccessAgency | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com

HABARI ZILIZOSOMWA SANA WIKI HII

Wema ni kweli anavuta Bangi???

Hakuna kitu kinachokera kwa msanii awapo jukwaani , kama mitambo kuleta hitilafu ambazo zitasababisha ashindwe kutoa burudani nzuri , au wakati mwingine kufanya aonekane amefanya show mbaya.

Jumapili iliyopita Kanye West aliacha gumzo huko Toronto, Canada baada ya kukatisha onesho lake ghafla na kuondoka jukwani.

Baada ya kupanda jukwaani mbele ya watazamaji elfu 40 kwenye onesho la Pan Am Games, Kanye aliamua kukatiza onesho lake ghafla dakika ya 13 tu toka aanze kutumbuiza, na kuondoka jukwaani huku akiacha watu wamepigwa butwaa.

Uamuzi huo wa Kanye ulifuatia hitilafu ya kiufundi iliyojitokeza na kusababisha kipaza sauti alichokua akitumia kisifanye kazi ipasavyo.

Akiwa anaendelea kuwapa burudani mashabiki ghafla alirusha mic hiyo juu na kuondoka jukwaani hapo ‘like a boss’, na kuwaacha watu wakishangaa sababu hawakutarajia kuona kilichotokea.

Tazama alichokifanya Kanye: