BONGOCLAN Tanzania

Website yetu ipo katikamatengenezo

Copyright © BongoClan Tanzania™ | Published By Gooyaabi Templates | Powered By Blogger
Design by WebSuccessAgency | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com

HABARI ZILIZOSOMWA SANA WIKI HII

Wema ni kweli anavuta Bangi???



tuerney ndio habari ya mujini kipindi hii, mwanadada huyo alianza kupata umaarufu na mashabiki wengi walianza kumkubali jinsi alivyo na namna anavyoolok like wema, but cha kushangaza umbea na udaku umeenza kusambaa kupitia mitandao tofauti ya kijamii, zimekuwa zikionekana message nyingi hususan huko insta zikimdiss mwanadada huyo, ikiwema account ya wemaauntezekiel ambayo mmiliki wa account hiyo ajulikani..

hiyo ni miongoni mwa picha iliyoenea kwenye mitandao tofauti tofauti huku watu wakidiss eti before and after, huku wengine wakisema chanzo cha kuanza kumdiss mwanadada huyo ni mara baada ya kualikwa kwenye shereh ya wema sepetu, halafu eti akakataa na kuanza kujisfia kwa watu kuwa amemkatalia, all in all mtandao wa makubwa haya utafanya jitihada ya kumtafuta mwanadada huyo na kufanya nae interview ili ukweli upate kujulika..