BONGOCLAN Tanzania

Website yetu ipo katikamatengenezo

Copyright © BongoClan Tanzania™ | Published By Gooyaabi Templates | Powered By Blogger
Design by WebSuccessAgency | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com

HABARI ZILIZOSOMWA SANA WIKI HII

Wema ni kweli anavuta Bangi???

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi59d6ZOra7bnFIAnJ5lunFXO28Ly-yat8G8PtvgMSSfzOgMPhUlBan7f5jS7sngXEJav8vNTYPXCxbLQdFcWRVuJVzQxN57uoLIHxa-e62zDrpgVN7C_D7CerE4I1GNSKqu8zhVPe6NZI/s1600/IMG_9048.JPG
kazi nzuri sana Mkubwa Felaaaa, ila muombe Mungu sana hawa watoto wasihadaike na mashangingi ya mjnii maana watakumalizia watoto, wamama wakianza yao tu, utaona vijana wako wamebadilika mara viburi, kuchelewa kazini, nk, omba sana ndugu maana nimeshasikia mdada mmoja kajivutia wake watuu wabayaaa jamani daah, ngoja tuendelee kufanya uchunguzi tuje na data kamili maana huwa hatutoi habari za uzushi, ila kama ni kweli wewe dada msanii unafanya hivyo acha, muachie mtoto wa watu jamaniii khaa si kubemenda hivyo.

yote tisa, kumi fela tutaftie kiwanja basi cha huku wilaya ya Kino kwa wajanja wawe wanapiga na siye tuyarudi
ila uchunguzi wetu kwa mwanadada muharibifu wa serengetiiiz unaendelea siku tutashuka naye kwani wazungu walisema there is no smoke without fireeeeee, mie napenda pale usini bane baneee

Enjoy yamoto Band