Akiongea Na Kipindi cha Dundo cha @MamboJamboRadio Kinachoendeshwa na @DjHaazu na @MwakaD25 Prof. J amesema kuwa Mez b alikuwa kama Mdogo wake na ndio Maana Aliishi naye Nyumbani kwake na siri Kubwa ambayo Mez B alimpa Akitambua ni Kaka Yake ni Kwamba ameyatambua Makosa yake aliyowahi Kuyatenda Nyuma.