BONGOCLAN Tanzania

Website yetu ipo katikamatengenezo

Copyright © BongoClan Tanzania™ | Published By Gooyaabi Templates | Powered By Blogger
Design by WebSuccessAgency | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com

HABARI ZILIZOSOMWA SANA WIKI HII

Wema ni kweli anavuta Bangi???

Image result for tanzania agricultural society
Sherehe za wafanyakazi (Mei mosi) zinasimamiwa na vyama vya wafanyakazi zikiratibiwa na TUCTA.
Sherehe za wafanyabiashara sabasaba zinaratibiwa na TANTRED NA TCCIA.
Sherehe za wakulima (wakulima, wafugaji na  wavuvi) zinaratibiwa na TASO
Mh.Raisi/ waziri mkuu upo uvumi ulionea na uliotangazwa na katibu mkuu wizara ya kilimo,ufugaji na ushirika kwamba chama cha TASO kimefutwa na  maadhimisho ya sherehe ya wakulima (NANENANE) ziratibiwe na watumishi (sekretarieti za mikoa).Kwa nini Mh.Raisi/waziri mkuu kama chama cha TASO kimefutwa kwa nini sherehe za nanenane zisifutwe?
kuliko kusimamiwa na wasiohusika.
Sisi wanachama wa TASO tumesikitishwa sana na jambo hili kwani hatuelewi chama chetu kimefutwa kwa taratibu zipi,mbona hatujashirikishwa kupitia vikao vyetu kwa mujibu wa KATIBA ?
Pamoja nakuwepo au kutokuwepo jambo hili hivi vyama vya wafanyakazi vikifutwa TASO Au TANTRED wanaweza kuratibu nakusimamia sherehe za wafanyakazi?.Kinachotusikitisha zaidi hao watumishi wa UMMA walioteuliwa kuratibu nakusimamia wana WELEDI kiasi gani na shughuli za wakulima?
Mh Raisi/waziri mkuu sisi wakulima ambao ndio kundi kubwa nchini tunanyanyasika sana na hawa watumishi wa UMMA ambao hujiona kwamba wana WELEDI mkubwa kuliko sisi wakulima  kama ambavyo msajili wa vyama hiari (mambo ya ndani)alivyoamua kwa makusudi kutofuata taratibu nakufuta chama chetu bila kutushirikisha kwakua sisi ni mambumbumbu kama wanavyotuita kitendo ambacho tunakilaumu sana .Mh .Rais/Waziri mkuu hawa sekretarieti zamikoa wametupangia viingilio vikubwa kuingia kwenye viwanja ambavyo ni mali yetu TASO mfano  kiingilio uwanjani mtu mzima Tshs 2000/ na  mtoto 1000/ hivi Mh tunaenda kufanya biashara au kujifunza mbona wenzetu wafanya kazi wanapopeleka matatizo yao kwako huingia bure?
uwanjani?


Jambo jingine ni kwamba sisi TASO tulikua tunatoa kiingilio kidogo kupata pesa zakuendesha chama je hizi sekretarieti za mikoa hizo fedha watakazokusanya wanapeleka wapi?
Jingine Mh .hawa watumishi walioteuliwa kuratibu shughuli za NANENANE wametoka kwenye vituo vya kazi takribani mwezi kuanzia tarehe 01/07/-9/8/2012 je wananchi wanapata wapi huduma zao na kauli mbiu ya awamu ya TANO ni HAPA KAZI TU,sasa kusimamia sherehe za nanenane ni kazi inayowalipa mishahara na huku wanalipwa posho kila siku je nisahihi.


Tunafikisha kilio chetu kwako juu ya swala hili kwani wewe ndio Mkombozi Wetu wakulima tumechoka kunyanyasika hasa katika awamu ya Utawala wako.