BONGOCLAN Tanzania

Website yetu ipo katikamatengenezo

Copyright © BongoClan Tanzania™ | Published By Gooyaabi Templates | Powered By Blogger
Design by WebSuccessAgency | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com

HABARI ZILIZOSOMWA SANA WIKI HII

Wema ni kweli anavuta Bangi???

http://www.swahili-movies.com/wp-content/uploads/2014/02/1MAMAWEMA2.jpgWaswahili wanasema mtoto kwa mama hakui, usemi huu unaweza tumika kwa uzuri zaidi katika maishan ya mama Wema Sepetu na mwanae Wema. Si mara moja au mara mbili mama Wema amekua akijitokeza na kumtetea mwanae kutokana na baadhi ya mambo anayoyafanya.

Sasa zamu hii mambo yamemgukia , hii ni baada ya mti asiefahamika kufungua akaunti Instagram na kutumia jina la mama Wema. Kama unavyojua dunia haina siri taarifa zikamfikia na akaamua moja kwa moja kumpigia Wema ambae kwa sasa yupo nchini Afrika Kusini.

Katika maongezi hayo mama Wema alisema kua kama kwei huyo mtu aliefungua hiyo akaunti anajiamini basi ajitokeze wapigane mshindi ajulikane. Unaweza mskia mama Wema katika video hii hapa chini.