![http://api.ning.com/files/Ct9BE8xQpt7WKey5CZ59ZPoZLv5ataRwGUOmYogHU0I61BvUXctsL9I3eDe4yCzFx0ppvCUMBhStTTxpymQaZ2VCg81mdBuD/linah.jpg](http://api.ning.com/files/Ct9BE8xQpt7WKey5CZ59ZPoZLv5ataRwGUOmYogHU0I61BvUXctsL9I3eDe4yCzFx0ppvCUMBhStTTxpymQaZ2VCg81mdBuD/linah.jpg)
Nafikiri Linah kama msanii kitendo alichokifanya si cha busara kabisa kwani kuna mambo ambayo yanatakiwa kubaki chumbani na kuna mambo anatakiwa kuyaonyesha kwa mashabiki wake. Wengi wa walioina video hiyo waliishia kumlaumu kwa alichokifanya.
Unaweza itazama video hiyo hapa chini