BONGOCLAN Tanzania

Website yetu ipo katikamatengenezo

Copyright © BongoClan Tanzania™ | Published By Gooyaabi Templates | Powered By Blogger
Design by WebSuccessAgency | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com

HABARI ZILIZOSOMWA SANA WIKI HII

Wema ni kweli anavuta Bangi???

Kama kuna habari ilimake headline sana wiki iliyopita basi hutaacha kuitaja ya Birthday ya mtoto wa mwigizaji Anti Ezekiel na Dansa wa Diamond anaefahamika kama Mose Iyobo. Mastar hao walikua wakisherehekea mwaka mmoja wa kuzaliwa wa mtoto wao Cookie katika sherehe iliyohudhuriwa na mastar mbalimbali.

Itakumbukwa kua ni watu wachache sana waliokua wakiifahamu sura ya mtoto wa Anti kwani amekua akificha sura ya mwanae hasa kwenye mitandao ya jamii. Ila watu wengi baada ya kuona picha za mtoto huyo kwa mara ya kwanza walisema kafanana sana na baba yake kuliko mama. Unaweza tazama video ya Mose akicheza na mwanae na uone jinsi walivyofanana.