BONGOCLAN Tanzania

Website yetu ipo katikamatengenezo

Copyright © BongoClan Tanzania™ | Published By Gooyaabi Templates | Powered By Blogger
Design by WebSuccessAgency | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com

HABARI ZILIZOSOMWA SANA WIKI HII

Wema ni kweli anavuta Bangi???

Ni mara chache sana unakutana na msanii na anakubali kua lugha ya kiingereza inampiga chenga. Nakumbuka msanii AY alikubali kua miaka kama 13 nyuma hakua akiiongea kugha hiyo kwa ufasaha lakini baada ya mazoezi mengi kwa sasa yupo vizuri.

Siku chache zilizopita msanii Ali Kiba alikubali kua pamoja na kukaa katika gemu mda mrefu na kukutana na wasanii wengi wa nje lugha hiyo bado ni tatizo kwake. Japo anaweza kuongea kidogo sana kwa Kingereza ila si mtaalamu sana. Msikie hapa akifunguka kuhusiana na swala hilo....