![https://i.ytimg.com/vi/Xo1rWmgrWc0/maxresdefault.jpg](https://i.ytimg.com/vi/Xo1rWmgrWc0/maxresdefault.jpg)
Imepita miezi mingi sasa wawili hawa hawajakutana tena mpaka juzi hapa walipokutana tena Clouds Fm katika kipindi cha XXL. Kizuri ni zamu hii hawajagombana ila kumetokea jambo moja lakushangaza zaidi pale walipokua wakiulizwa maswali na BDozen. Hebu cheki video hii kisha niambie ni nani muungwana zaidi kati ya Shilole na Nuh??