BONGOCLAN Tanzania

Website yetu ipo katikamatengenezo

Copyright © BongoClan Tanzania™ | Published By Gooyaabi Templates | Powered By Blogger
Design by WebSuccessAgency | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com

HABARI ZILIZOSOMWA SANA WIKI HII

Wema ni kweli anavuta Bangi???

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhzjH5ieqYdEgevK98dSZA0ypLNO5DIRCc4uGVSfGEjnhkFj7jAkVgEd0w9o-5sAEqJX5EJYCojBRpM2-O4FZ0f9nvSMCMx_3ZxnHjdDhlCK6DlbqjPFqnhUlBrHeYCca-oFK_OMV3Dxw/s640/nay-wa-mitego-mr-nay.jpgLeo ni siku kubwa kwa msanii Nay Wa Mitego kwani ni siku ambayo anasherehekea miaka kadhaa tangu azaliwe. Siku chache zilizopita tuliwatea habari kuhusu zawadi aliyopanga kujizawadia ammbayo ni gari aina ya Range Rover Vogue.

Sasa usiku ilipofika saa6 ndugu jamaa na marafiki wa msanii huyo walimfanyia suprise ya nguvu na kummwagia ndoo za maji za kutosha Nay. Na inaonekana wamepania sana kwani mmoja wao alisikika akisema wanangojea na kukuche waendelee na zoezi hilo. Tazama video akimwagiwa maji hapa chini...