BONGOCLAN Tanzania

Website yetu ipo katikamatengenezo

Copyright © BongoClan Tanzania™ | Published By Gooyaabi Templates | Powered By Blogger
Design by WebSuccessAgency | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com

HABARI ZILIZOSOMWA SANA WIKI HII

Wema ni kweli anavuta Bangi???

Ni kwa zaidi ya miaka minne Wema Sepetu na Petit Man walikua marafiki. Kwani walionekana pamoja katika kila jambo hata pale Wema alipoamua kugombea ubunge viti maalum kupitia Chama Cha Mapinduzi Petit alijitokeza na kua nae Bega kwa Bega.

Siku za karibuni kulikuepo na tetesi kua kuna ugomvi mkubwa kati ya Wema Sepetu na Petit huku chanzo kikiwa hakijulikani. Ikafikia hadi Mirror, msanii aliekua chini ya Petit Man kutangaza kua kwa sasa Petit si meneja wake tena na kwa sasa Mirror yupo Benet sana na Wema.

Baada ya mashabiki kumuuliza Wema kuhusu ishu ya Petit Wema alikua mkali na kuongea maneno mengi ambayo ukiyasikiliza utagundua kua wawili hawa sasa hawapikiki chungu kimoja. Mtizame Wema akifunguka hapa chini....