BONGOCLAN Tanzania

Website yetu ipo katikamatengenezo

Copyright © BongoClan Tanzania™ | Published By Gooyaabi Templates | Powered By Blogger
Design by WebSuccessAgency | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com

HABARI ZILIZOSOMWA SANA WIKI HII

Wema ni kweli anavuta Bangi???

Msanii Shilole ametangaza vita na msanii mwenzake Vanessa mdee, na kusema kuwa asiombe kukutana naye popote.
SHILOLE546
Akiongea na East Africa TV baada ya kupigiwa smu kujibu tuhuma hizo, Shilole amesema amechukizwa na kitendo cha Vanessa kuandika mambo mabaya juu yake na kupost istagram, hivyo ajiandae kwa lolote.
“Ukiona hivyo ujue kimenuka, kaniongelea shit mi sijapenda, tena mwambieni nikikutana naye atanyooka”, alisema Shilole na kukata simu.
Hapo awali ilisambaa post kweny instagram iliypostiwa na Vanessa Mdee akimshambulia Shilole, na ndipo Shilole akapost na video kabisa akisema asioombe akutane naye kwani vibao vyake havielezeki.
Vanessa34
shilole43
Haijashia hapo. Shilole amepost video akimpa ujumbe mwingine mkali zaidi muimbaji huyo wa ‘Niroge.’