Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimfariji Jaji Mkuu Mhe.Mohamed
Chande Othman kufuatia kifo cha mwanaye Said Mohamed Chande wakati Rais
alipokwenda Chumbageni Tanga kuhudhuria mazishi ya marehemu.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimfariji Jaji Mkuu Mhe.Mohamed
Chande Othman kufuatia kifo cha mwanaye Said Mohamed Chande wakati Rais
alipokwenda Chumbageni Tanga kuhudhuria mazishi ya marehemu.
Jaji Mkuu Mhe.Mohamed Chande Othman akiweka udongo katika kaburi la
mwanaye Said Mohamed Chande wakati wa mazishi yaliyofanyika katika
makaburi ya Chumbageni Tanga leo jioni.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiweka udongo katika kaburi la
Marehemu Said Mohamed Chande wakati ya mazishi yaliyofanyika katika eneo
la Chumbageni Tanga leo.Marehemu Said ni Mtoto wa Jaji Mkuu Mhe.Mohamed
Chande Othman.
Makamu wa Rais Dkt.Mohamed Gharib Bilal akiweka udongo katika kaburi
la mrehemu Said Mohamed Chande wakati wa mazishi yaliyofanyika huko
Chumbageni Tanga.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiifariji familia ya Jaji Mkuu
Mhe.Mohamed Chande Othman(aliyesimama pembeni ya Rais) kufuatia kifo cha
mwanaye Said Mohamed Chande mjini Tanga.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Makamu wa Rais Dkt.Mohamed Gharib
Bilal,Jaji Mkuu Mhe.Mohamed Chande Othman wakiomba dua wakati wa mazishi
ya marehemu Said Mohamed Chande ambaye ni mtoto wa jaji mkuu
yaliyofanyika katika makaburi ya familia huko Chumbageni Tanga leo
jioni(picha na Freddy Maro).