Mteja
wa bia ya Tusker na mkazi wa Sinza Bw. James Lui (katikati) akipokea
zawadi yake ya Mfuko wenye fulana pamoja na bia za bure toka kwa Balozi
wa kinywaji hicho Veronica Mbilinyi (Kulia) katika hafla ya kuipongeza
baa ya Mawela iliyopo Sinza jijini Dar es salaam mara baada ya baa hiyo
kuibuka mshindi wa wiki kwenye kampeni ya Fanyakweli Kiwanjani
inayoendeshwa na bia ya Tusker. Kampeni hiyo inatarajiwa pia kuwafikia
wakazi mbalimbali wa mikoa mingine nchini kama;- Arusha, Mbeya, Mwanza
na Morogoro.
Meneja
wa bia ya Tusker SBL, Nandi Mwiyombella akikabidhi zawadi ya mfuko
wenye fulana na kalamu kwa mkazi wa Sinza Bi. Zalia Ally katika hafla ya
kuipongeza baa ya Mawela iliyopo Sinza jijini Dar es salaam ambayo
iliibuka mshindi wa wiki kwenye kampeni ya Tusker Fanyakweli Kiwanjani
inayoendeshwa na bia ya Tusker. Kampeni hiyo yenye nia ya kuhamasiha baa
za mitaa inayotuzunguka kufanya kweli kwenye upande wa huduma
inatarajiwa pia kuwafikia wakazi mbalimbali wa mikoa mingine nchini
kama;- Arusha, Mbeya, Mwanza na Morogoro.
Meneja
bia ya Tusker SBL, Nandi Mwiyombella (Kushoto) akikabidhi zawadi ya
mfuko wenye fulana na kalamu kwa mkazi wa Segerea mwisho Bw. Rodride
Nyange katika hafla ya kuipongeza baa ya Havannah iliyopo Segerea mwisho
jijini Dar es salaam ambayo iliibuka mshindi wa wiki kwenye kampeni ya
Fanyakweli Kiwanjani inayoendeshwa na bia ya Tusker. Kampeni hiyo yenye
nia ya kuhamasiha baa za mitaa inayotuzunguka kufanya kweli kwenye
upande wa huduma inatarajiwa pia kuwafikia wakazi mbalimbali wa mikoa
mingine nchini kama;- Arusha, Mbeya, Mwanza na Morogoro.
Mkazi
wa Segerea aliyetambulika kwa jina la Gaudence Mgeja pamoja na Dj wa
promosheni ya Fanyakweli Kiwanjani Dj Con wakishindana kucheza mziki
kwenye hafla ya kuipongeza baa ya Havannah iliyopo Segerea mwisho jijini
Dar. Baa hiyo iliibuka mshindi wa wiki wa promosheni hiyo yenye lengo
la kuhamasisha kwa vitendo baa za mitaa inayotuzunguka kufanya kweli
inapokuja kwenye suala la huduma kwa wateja wao.
Mshereheshaji
wa promosheni ya Tusker Fanyakweli Kiwanjani Godwin Mawanja akiamsha
ari ya kiwanja cha Havannah kilichopo Segerea mwisho jijini Dar wakati
wa shindano la Tusker Fanyakweli Kiwanjani linaloendeshwa na bia ya
Tusker lilipotinga kwenye baa hiyo katika uhamasihaji wa kufanya kweli
kwenye upande wa huduma sambamba na hilo promosheni hiyo ilikua na
zawadi lukuki za fulana, bia za bure na kalamu kwa wapenzi wa bia hiyo
waliofika kiwanjani hapo.
Ma Dj wa
promosheni ya Tusker Fanyakweli Kiwanjani kutoka redio E-fm (kulia) ni
Dj Con, (Katikati) ni Dj Skit na (kushoto) ni Dj Spar wakiwa kwenye
picha ya pamoja wakati wa hafla ya kuipongeza baa ya Mawela iliyoibuka
mshindi wa wiki wa kampeni inayoendelea ya Tusker Fanyakweli Kiwanjani
inayoendeshwa na Kampunia ya bia ya Serengeti kupitia bia yake ya
Tusker.