BONGOCLAN Tanzania

Website yetu ipo katikamatengenezo

Copyright © BongoClan Tanzania™ | Published By Gooyaabi Templates | Powered By Blogger
Design by WebSuccessAgency | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com

HABARI ZILIZOSOMWA SANA WIKI HII

Wema ni kweli anavuta Bangi???

 Mshereheshaji wa promosheni ya Fanyakweli Kiwanjani Gadner G. Habash akiongea na mkazi wa Yombo Vituka, Vicky Omary (katikati) kabla ya kumkabidhi zawadi mbalimbali kama bia za bure, fulana na mfuko ndani ya baa ya Kisuma iliyopo Mwembeyanga Tandika ambapo kampeni ya Tusker Fanyakweli ilifunga kambi kiwanjani hapo baada ya baa hiyo kuibuka mshindi wa wiki. (Kulia) ni balozi wa bia hiyo Bi. Veronica Mbilinyi.

Dj wa E-fm anayetambulika kwa jina la Dj Spar, akiporomosha burudani ya muziki ndani ya baa ya Kisuma iliyopo Temeke jijini Dar wakati wa hafla ya kuipongeza baa hiyo iliyoibuka mshindi wa wiki wa kampeni ya Tusker Fanyakweli Kiwanjani. Lengo la kampeni hiyo likiwa ni kuhamasisha baa mbalimbali za mitaa tunayoishi kufanya kweli wanapotoa huduma kwa wateja.

 Mkazi wa Temeke Bi. Anna Sylvester (Katikati) akipokea zawadi ya polo shirt baada ya kushiriki kwenye kampeni ya Tusker Fanyakweli Kiwanjani alipojumuika na marafiki zake kuipongeza baa ya wiki ya Kisuma iliyopo Tandika jijini Dar es salaam baada ya baa hiyo kuibuka mshindi wa wiki kwenye kampeni ya Fanya kweli kiwanjani wiki hii.(Wa kwanza kulia) ni rafiki yake aliyefahamika kwa jina la Tatu Mohammed, (Wa pili kulia) ni Mshereheshaji wa shughuli hiyo Gadner G. Habash sambamba na wasimamizi wa bia hiyo toka SBL.

 Bi. Catherine Bonventure (Katikati) Mkazi wa Temeke akipokea zawadi ya kalamu pamoja na bia za bure kutoka kwa mshereheshaji wa promosheni ya Tusker Fanyakweli Kiwanjani Gadner G. Habash (Kulia) kwenye kiwanja cha Kisuma wakati wa kuipongeza baa hiyo ya Tandika jijini Dar es salaam baada ya baa hiyo kuibuka mshindi wa wiki kwenye kampeni ya Fanyakweli Kiwanjani inayoendeshwa na bia ya Tusker lengo lake likiwa ni kuhamasisha baa mbalimbali za mitaa tunayoishi kufanya kweli kwa kwa wateja wakati wa utoaji huduma. (Kushoto) ni balozi wa bia hiyo Bi. Veronica Mbilinyi.

Mkazi wa Mwembeyanga Bi. Sikudhani Idd (katikati) akipokea zawadi yake ya bia za bure, mfuko pamoja na Tisheti alivyopewa wakati wa hafla ya kuipongeza baa ya Kisuma ya Mwembeyanga Tandika mara baada ya baa hiyo kuibuka mshindi wa wiki kwenye kampeni ya Fanyakweli Kiwanjani inayoendeshwa na bia ya Tusker toka kampuni ya bia ya Serengeti. (Kushoto) ni Mshereheshaji wa promosheni ya Fanyakweli Kiwanjani Gadner Habbash na (kulia) ni balozi wa bia hiyo Bi. Veronica Mbilinyi.


Mshereheshaji wa promosheni ya Tusker Fanya kweli kiwanjani akizungumza na mkazi wa Kimara na mpenzi wa bia ya Tusker Bi. Grace Mweleke wakati wa promosheni ya Fanyakweli kiwanjani inayoendeshwa na bia ya Tusker ilipofunga kambi kiwanjani hapo kuipongeza baa ya Safari resort ya Kimara iliyoibuka mshindi wa wiki wa promosheni hiyo.