BONGOCLAN Tanzania

Website yetu ipo katikamatengenezo

Copyright © BongoClan Tanzania™ | Published By Gooyaabi Templates | Powered By Blogger
Design by WebSuccessAgency | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com

HABARI ZILIZOSOMWA SANA WIKI HII

Wema ni kweli anavuta Bangi???


KATIKA hali isiyo ya kawaida msanii wa filamu na muziki, Snura Mushi, alijikuta akirushiwa pombe zilizokuwa katika vifuko vidogo maarufu viroba akiwa jukwaani kama njia ya kumshangilia kwa uchezaji wake.

Snura alipanda jukwaani na kuimba wimbo wake ulioshika chati nchini wa ‘Nimevurugwa’ katika onyesho la miaka 16 ya msanii Juma Nature lililofanyika katika ukumbi wa Dar Live uliopo Mbagala jijini.

Snura akiwa jukwaani, shabiki mmoja alimfuata na kumtunza kiroba kisha idadi nyingine ya mashabiki ikaendelea kumtunza fedha pamoja na viroba hivyo.

Hata hivyo, msanii huyo alionyesha upendo kwa mashabiki hao kwa kuwarushia zile pombe za viroba alizotunzwa huku fedha alizotunzwa akiziweka mfukoni.

Zawadi nyingine aliyoitoa Snura baada kutunzwa fedha na viroba alikuwa akikatika kiuno chake kwa mashabiki waliokuwa wakimtunza.