BONGOCLAN Tanzania

Website yetu ipo katikamatengenezo

Copyright © BongoClan Tanzania™ | Published By Gooyaabi Templates | Powered By Blogger
Design by WebSuccessAgency | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com

HABARI ZILIZOSOMWA SANA WIKI HII

Wema ni kweli anavuta Bangi???


"Naomba kutanguliza shukrani zetu kwa chuo cha AJUCO Songea kwa kututunuku vyeti vya kutukuka kupitia (CHAWAKAMA) chama cha wanafunzi wa kiswahili vyuo vikuu vya afrika mashariki. Cheti hiki ni sehemu ya kutambua na kuthamini mchango wetu ndani na nje ya chuo chenu kwa kuamini tutaendelea kuwa mabalozi wazuri wa (CHAWAKAMA) KISWAHILI NI HAZINA YA AFRIKA KWA MAENDELEO ENDELEVU." Msanii Izzo Busnes aliandika hiyo jana kwenye ukurasa wake mtandaoni.