Samahani kwa haya kama yatawauzi wengine hasa mashabiki wa
Wema Sepetu .. Najaribu kufikiria kwa sauti tu kama Wema Sepetu kwa
kutumia umaarufu wake na jina alilonalo angefanya biashara mbali mbali
kama zifuatazo nadhani angekuwa ni mmoja wa wanawake wenye pesa za kufa
mtu :
1.Spa and Beauty Parlour za kisasa-Duka la Urembo lenye
jina lake ambapo wanawake wanaenda kutengeneza kucha (manicure and
pedicure), nywele, massage, waxing, stem bath ama sauna na mengine mengi
2. Hotel ama Restaurant yenye jina lake ambapo siku moja
moja yeye na marafiki zake wanakuwa wanahudumia na kutoa huduma special
kwa wateja
3. Maduka ya nguo, viatu na handbags za kike ambapo kila
mara anakwenda nje kuchukua vitu vipya na kuvitangaza kupitia page yake
ya instagram yenye zaidi ya followers laki tano
Kwa ufupi ana potential kubwa kwa upande wa biashara kwa sasa as anapendwa na watu wengi ....
Thats it if only i was in her shoes...Nimemaliza.....