BONGOCLAN Tanzania

Website yetu ipo katikamatengenezo

Copyright © BongoClan Tanzania™ | Published By Gooyaabi Templates | Powered By Blogger
Design by WebSuccessAgency | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com

HABARI ZILIZOSOMWA SANA WIKI HII

Wema ni kweli anavuta Bangi???

Mshindi wa mwisho wa shindano la “Tutoke na Serengeti” Bw.Gabriel Robert Moriale (Kulia) akiwa na kaka yake Bw.Joshua Robert Moriale (Kushoto) walipowasili mamlaka  ya hifadhi ya Ngorongoro jijini Arusha tayari kwa kuanza safari ya kwenda Hifadhi ya Taifa ya Serengeti kukamilisha mtoko wao wa siku tatu ndani ya hifadhi hiyo. Robert aliibuka mshindi wa mwisho wa “Mtoko wa mbugani” baada ya kushiriki kwenye kampeni ya “Tutoke na Serengeti” iliyoendeshwa na kampuni ya bia ya Serengeti kwa ushirikiano na BPESA kwa takriban miezi(4) ambapo washindi walijinyakulia zawadi nyingine kama Limo Bajaj, fedha taslim, Bia za bure sambamba na punguzo la Tsh.300 kwenye bia ya Serengeti Premium.

Mshindi wa mwisho wa shindano la “Tutoke na Serengeti” Bw. Robert Gabriel Moriale (Kulia) aliyeongozana na mdogo wake Bw. Joshua Robert (Kushoto) wakitalii ndani ya hifadhi ya Taifa ya Serengeti kukamilisha zawadi yake ya mtoko wa siku tatu ndani ya hifadhi hiyo. Bw. Robert aliibuka mshindi wa mwisho wa “Mtoko wa mbugani” baada ya kushiriki kwenye kampeni ya “Tutoke na Serengeti” iliyokua ikiendeshwa na kampuni ya bia ya Serengeti kwa ushirikiano na BPESA kwa takriban miezi(4) ambapo washindi walijinyakulia zawadi nyingine kama Limo Bajaj, fedha taslim, Bia za bure sambamba na punguzo la Tsh.300 kwenye bia ya Serengeti Premium.

Mshindi wa mwisho wa shindano la “Tutoke na Serengeti” Bw. Robert Gabriel Moriale (Kulia) aliyeongozana na mdogo wake Bw. Joshua Robert (Kushoto) wakitalii ndani ya hifadhi ya Taifa ya Serengeti kukamilisha zawadi yake ya mtoko wa siku tatu ndani ya hifadhi hiyo. Bw. Robert aliibuka mshindi wa mwisho wa “Mtoko wa mbugani” baada ya kushiriki kwenye kampeni ya “Tutoke na Serengeti” iliyokua ikiendeshwa na kampuni ya bia ya Serengeti kwa ushirikiano na BPESA kwa takriban miezi(4) ambapo washindi walijinyakulia zawadi nyingine kama Limo Bajaj, fedha taslim, Bia za bure sambamba na punguzo la Tsh.300 kwenye bia ya Serengeti Premium.

Mshindi wa mwisho wa shindano la “Tutoke na Serengeti” Bw.Gabriel Robert Moriale akiangalia kundi kubwa la wanyama aina ya pundamilia katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti wakati wa kukamilisha mtoko wao wa siku tatu ndani ya hifadhi hiyo. Robert aliibuka mshindi wa mwisho wa “Mtoko wa mbugani” baada ya kushiriki kwenye kampeni ya “Tutoke na Serengeti” iliyokua ikiendeshwa na kampuni ya bia ya Serengeti kwa ushirikiano na BPESA kwa takriban miezi(4) ambapo washindi walijinyakulia zawadi nyingine kama Limo Bajaj, fedha taslim, Bia za bure sambamba na punguzo la Tsh.300 kwenye bia ya Serengeti Premium.

Mshindi wa mwisho wa shindano la “Tutoke na Serengeti” Bw. Robert Gabriel Moriale wa pili (Kushoto) aliyeongozana na mdogo wake Bw. Joshua Robert (Wa kwanza kulia) wakitalii ndani ya Ngorongoro na kupata maelekezo kutoka kwa mwelekezi (Tour guide) kabla ya kuanza safari ya kwenda Serengeti national park. Bw. Robert aliibuka mshindi wa mwisho wa “Mtoko wa mbugani” baada ya kushiriki kwenye kampeni ya “Tutoke na Serengeti” iliyokua ikiendeshwa na kampuni ya bia ya Serengeti kwa ushirikiano na BPESA kwa takriban miezi(4) ambapo washindi walijinyakulia zawadi nyingine kama Limo Bajaj, fedha taslim, Bia za bure sambamba na punguzo la Tsh.300 kwenye bia ya Serengeti Premium.

Mshindi wa mwisho wa shindano la “Tutoke na Serengeti” Bw. Robert Gabriel Moriale (Kulia) aliyeongozana na mdogo wake Bw. Joshua Robert (Kushoto) wakifuruahia bia ya Serengeti Premium wakati wakitalii ndani ya hifadhi ya Taifa ya Serengeti  wakati wa kukamilisha mtoko wa siku tatu ndani ya hifadhi hiyo. Bw. Robert aliibuka mshindi wa mwisho wa “Mtoko wa mbugani” baada ya kushiriki kwenye kampeni ya “Tutoke na Serengeti” iliyokua ikiendeshwa na kampuni ya bia ya Serengeti kwa ushirikiano na BPESA kwa takriban miezi(4) ambapo washindi walijinyakulia zawadi nyingine kama Limo Bajaj, fedha taslim, Bia za bure sambamba na punguzo la Tsh.300 kwenye bia ya Serengeti Premium.