BONGOCLAN Tanzania

Website yetu ipo katikamatengenezo

Copyright © BongoClan Tanzania™ | Published By Gooyaabi Templates | Powered By Blogger
Design by WebSuccessAgency | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com

HABARI ZILIZOSOMWA SANA WIKI HII

Wema ni kweli anavuta Bangi???

Jioni ya Jana Zimesambaa picha zikionesha Diamond na Zari wakiwa katika Mavazi kama ya Harusi ni kiwa na maana Shela na Suti ....Je watu hawa wameamua kuoana ama ni picha za kutubeep?
Picha hizo zimeacha maswali mengi juu ya wawili hawa....week iliyopota Diamond alimvisha Zari Pete ya Uchumba...

Diamond aliweka Picha hiyo na Kuandika Maneno haya Hapa chini:

'Wakati Mwingine Usiri Unabaraka zaidi.... Alhamdulillah
(Sometimes Privacy has more Blessings... Thank you so Much God'

Baadhi ya Comments za Mashabiki hizi Hapa kuusu picha hizo za Harusi:


miss_w91
Soo happy for u guys.msije baada ya muda mkatuambia oh ilikua project,mara sijui photo shoot tu,mara sijui tangazo au wimbo.mtanikera.love u two so much.be blessed

ma1boyt2c
Mmmh ni macho yangu au ni movie naona hapa

jwandzeun
Hahaha wonders shall never cease! Worst mistake. ......mnitusi sasa

divaryne
Bora u guys are done maana...u were on people's mouth sasa the talk will end i hooo

momomelisa
@milly_is_me 1st of may is when their real wedding ceremony will happen . it will be Friday meaning the form of marriage will be islamic in nature... these pictures are to let people get prepared to attend their wedding .. they couldn't say that they were going to get married..bt the pictures say everything... lets pray for dat day to come ed we officially celebrate their walking down of the aisle. wish whoever will attend da best . by the way......waiting for a baby shower hahhahahhhahha.. this year is full of their events..remember 1.


a.bakari
Uyo si kaolewa kama kaolewa bila ya kupewa talaka yake basi dhambi kubwa wanafanya ok