
Kabla ya Show hiyo Davido alifanyiwa mahojiano na kituo cha Tv cha Kenya na Davido aliulizwa swali kama nyimbo za Davido zinapigwa nchini Nigeria alisema NO akimaanisha kua hua nyimbo za Diamond hazipigwi Nigeria. Ila alisema nyimbo za wasanii wengine wa Afrika Mashariki zinapigwa kama za Saut Soul.
Unaweza tazama video ya Davido alipokua akihojiwa hapa chini.