BONGOCLAN Tanzania

Website yetu ipo katikamatengenezo

Copyright © BongoClan Tanzania™ | Published By Gooyaabi Templates | Powered By Blogger
Design by WebSuccessAgency | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com

HABARI ZILIZOSOMWA SANA WIKI HII

Wema ni kweli anavuta Bangi???

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiOCTt7oxvUrf5qNJ42GBC3n7DfCmOioDDS0_01c06CEubakTeN-u2dXKPcPFCmkrshgVl7eq2TKHz8blzmdX1nIlYet3hOo5Rt9B3Bmv1AR9IZdbxR7DcLffCgnnViHnh_eRc6kJj22pM/s1600/D-South.jpg 
Inaonekana bifu la Davido na Diamond bado linaendelea japo wao wenyewe kusema kua hakuna bifu kati yao wawili. Wiki hii Davido alikua Kenya na kibaya zaidi alilalamikiwa na mashabiki wake kua alipanda stejini kalewa na kufanya show iliyochukua dakika 20 tu kisha akashuka.

Kabla ya Show hiyo Davido alifanyiwa mahojiano na kituo cha Tv cha Kenya na Davido aliulizwa swali kama nyimbo za Davido zinapigwa nchini Nigeria alisema NO akimaanisha kua hua nyimbo za Diamond hazipigwi Nigeria. Ila alisema nyimbo za wasanii wengine wa Afrika Mashariki zinapigwa kama za Saut Soul.

Unaweza tazama video ya Davido alipokua akihojiwa hapa chini.