BONGOCLAN Tanzania

Website yetu ipo katikamatengenezo

Copyright © BongoClan Tanzania™ | Published By Gooyaabi Templates | Powered By Blogger
Design by WebSuccessAgency | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com

HABARI ZILIZOSOMWA SANA WIKI HII

Wema ni kweli anavuta Bangi???

 http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/10/huuu.jpg
Kuna baadhi ya watu maarufu ndani na nje ya bongo wenye majina makubwa kabisa lakini kazi zao ni kidogo au hazieleweki au hazilingani na uzito wa majina yao ktk jamii.
Kwa mawazo yangu nitalist watu wachache hapa!

1.WEMA SEPETU.
Kazi za huyu mdada nizujuavyo ni muigiza muvi na kumiliki kampuni na ni kazi ambazo si kuubwa kivile kulingana na jina lake.

2.STEVE NYERERE
jamaa alijichukulia umaarufu kwa kuigiza sauti ya mwl.jk na baadae akapindukia kwenye uemsii na movie acting...ofcoz kazi anazo zifanya ni nzuri lakini jina lake nikubwa saana ktk jamii kuliko hizo kazi.

3.MWIGULU NCHEMBA
jamaa ni naibu waziri wa fedha na nikiongozi ktk chama cha ccm.tofauti na wanasiasa wenzake huyu jamaa jina lake limevuma sana nakugeuka kua kubwa kiasi kwamba halilingani na kazi zake.

4.MAMA KANUMBA
huyu ni mama wa muigizaji maarufu marehem stv.kanumba....jina lake limeanza kutawala media karibu na kipindi cha mwisho mwanae yuko duniani lakini likavuma zaidi baada ya kifo cha mwanae.
Nisikiavyo kwa sasa anaigiza lakini ukweli ni kwamba pamoja na kazi hiyo ya uigizaji baado jina lake ni kuubwa sana kulingana na kazi yake.

5.HEMED PHD
jamaa ni muigizaji na mwnamuziki..alianza kujulikana kupitia tusker project fame na baada ya hapo umaarufu wake umepanuka kiasi kwamba nimkubwa kuliko kazi azifanyazo.

6.KIM KADASHIAN
ni demu wake kanye wizzle pia anashirik kwenye tv show ya familia yao.amekua na scandals nyingi lakin yenye umaarufu ni ile ya sex tape yake na ray jay.binafsi namuona ana jina kubwa kuliko kazi zake.

7.LUPITA NYONG'O
ni mkenya aliekulia mexico na kwa sasa anaishi marekani.amepata umaarufu baada ya kushiriki ktk movie ya 12years a slave na movie hiyo pekee imempa tuzo zaidi ya 25 ikiwemo ile maarufu ya oscar.na ni juzi tu ametokelezea kwenye mistar ya wimbo wa jayz(we made it).jinsi jina lake linavyo ng'aa si sawa na kazi zake zilivyo kwa sasa

8.DAVID MOYES
Jamaa ni kocha wa the red devils..jina lake limevuma sana baada ya kukabidhiwa timu na babu (sir) na baada ya hapo akaanza kuchezea kichapo mpaka na timu za mchangani.
Jina lake ni kubwa kuliko kazi yake.

.......na wewe tuwekee wa kwako hapa!