BONGOCLAN Tanzania

Website yetu ipo katikamatengenezo

Copyright © BongoClan Tanzania™ | Published By Gooyaabi Templates | Powered By Blogger
Design by WebSuccessAgency | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com

HABARI ZILIZOSOMWA SANA WIKI HII

Wema ni kweli anavuta Bangi???

Mrembo na mwigizaji wa filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ leo ameamua kuwapa makavu laivu magazeti hayo kwa kile ambacho Lulu anadai wamekuwa wakimbandika kwenye kurasa zao ya mbele kila leo kwa stori za kuungaunga.

“Okay...Acha nitoe PROMO bila Malipo tu maana inawezekana watu wana uhitaji...
Kwahyo kuna Magazeti yanaitwa VISA Na LETE MAMBO (tutambue uwepo wao kwanza) Sasa Sina uhakika kama ni masharti ya Boss zao Au ni sheria yao kutopitisha muda bila sura yangu kwenye magazeti yao tena Kwa story za kujitungia tu...Sitaki mnidhihirishie Kwamba bila SURA YANGU kwenye makaratasi yenu biashara haifanyiki....mtajiuliza Kwann nimekuja kuwaweka insta,mnajua sababu....mnajifanya ni ma bingwa wa kuchukua Habari kwenye mitandao Ya kijamii Na kuziboresha kwa uongo...Ichukueni na HII basi....!!

Kama kweli mna uhakika hata bila sura yangu kwenye makaratasi yenu kazi/biashara itakuwepo kama kawaida naomba mnidhihirishie hata ndani Ya miezi 3 tu....otherwise Basi niwe boss wenu mana bila mimi hamna mishahara...!

Endeleeni na madudu yenu...ila msije kukaa kwenye RIGHT ANGLE Mta Love show..!
NAJUA MTAPITA TU Cjui kama mna account humu ningewatag kbsa..!”-Lulu aliandika kwenye ukursa wake wa Instagram.

Bila shaka ujumbe umefika, ila nadhani hii pia kwao itakuwa stori pia.

Mzee wa Ubuyu