BONGOCLAN Tanzania

Website yetu ipo katikamatengenezo

Copyright © BongoClan Tanzania™ | Published By Gooyaabi Templates | Powered By Blogger
Design by WebSuccessAgency | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com

HABARI ZILIZOSOMWA SANA WIKI HII

Wema ni kweli anavuta Bangi???

Demu wa Kenya Anayejulikana kama TIARA ambae alishindwa kuficha hisia zake na kumtumia Video na Picha za mitego Diamond kwa Kupitia Udaku Special Blog Ametuhabarisha kuwa baada ya Video na picha zake kusambaa alitafutwa na  Diamond Platnumz na kuanza kuchat nae na kutumiana picha mbali mbali  na alifikia mahala akasema anamtumia Ticket za kuja Dar wafanye yao pamoja na Collabo ya Mziki ..Lakini mpaka leo Tickets hazijatumwa....Sasa baada ya tickets kutokutumwa na Diamond kukaa kimya ilibidi aanza kufanya uchunguzi kuhusu huyo Diamond na Mwisho kugundua anachat na Diamond Fake...anatumia jina la Diamond..kwenye facebook anajiita : Diamond Wasafi Platnumzz

Hizo Hapo Juu ni Baadhi ya Messeji walizokuwa wanachat kabla ya kugundua sio Diamond wa Ukweli .....

TIARA amesema Bado Hajakata Tamaa na Anasema Diamond Kama Anasoma habari hii Soon atakuja Tanzania yeye mwenyewe kukutafuta Face to Face mpaka kieleweke....

Katika Hatua nyingine TIARA amesema Mwezi ujao ataachia Single yake mpya itakayoitwa Kuparty........

Unamshauri nini TIARA?