BONGOCLAN Tanzania

Website yetu ipo katikamatengenezo

Copyright © BongoClan Tanzania™ | Published By Gooyaabi Templates | Powered By Blogger
Design by WebSuccessAgency | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com

HABARI ZILIZOSOMWA SANA WIKI HII

Wema ni kweli anavuta Bangi???

Msanii  anayetesa  katika  mziki  wa  kizazi  kipya  hapa  nchini, Nassib  Abdul  'Diamond  Platnumz'  usiku  wa  jumamosi  iliyopita  alijikuta  katika  wakati  mgumu  baada  ya  kuzomewa  na  mashabiki  kwenye  viwanja  vya  Leaders  Jijini  Dar  es  Salaam.

Mbali  ya  kuzomewa, Diamond  pia  alirushiwa  chupa  za  maji  ambazo  zilileta  kadhia, lakini  Diamond  alionekana  akiwahimiza  madancer  wake  wafanye  kazi  iliyowapeleka  pale  licha  ya  zomeazomea  kuzidi  uwanjani.....

Msanii  huyo  alipoona  vitendo  vya  kutaka  kumkwamisha  asiimbe  vikiendelea, aliamua  kuwamwagia  fedha  mashabiki hao, ndipo  wakaacha  kuzomea  na  kuanza  kugombea  fedha  hizo  kisha  kuanza  kumshangilia....

Baadhi  ya  wadau  walisikika  wakidai, kundi  hilo  lililokuwa  likimzomea  liko  upande  wa  mmoja  wa  wasanii  mahiri  hapa  nchini.Wasanii  wengine  walioonja  joto  ya  jiwe  ni  pamoja  na  Khamis  Mwinjuma  'Mwana FA'  na  Ambwene  Yesaya  'AY'.

Aidha, baadhi  ya  mashabiki  walilaani  vikali  tukio  hilo  la  kumzomea  Diamond  na  kumrushia  chupa  za  maji  ambazo  inadaiwa  zilikuwa  na  haja  ndogo  ndani  yake.

Mashabiki  hao  walisema  tukio  hilo  halipendezi  na  linapaswa  kukemewa  na  kuwataka  waratibu  pamoja  na  jeshi  la  polisi  kuzidisha  ulinzi  katika  matamasha  makubwa  kama  hayo.

Hii  ni  mara  ya  pili  kwa  Diamond  kuzomewa,tukio  la  kwanza  likiwa  kilele  cha  tamasha  la  Fiesta  mwaka  jana  kwenye  viwanja  hivyo.