BONGOCLAN Tanzania

Website yetu ipo katikamatengenezo

Copyright © BongoClan Tanzania™ | Published By Gooyaabi Templates | Powered By Blogger
Design by WebSuccessAgency | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com

HABARI ZILIZOSOMWA SANA WIKI HII

Wema ni kweli anavuta Bangi???

Afisa mauzo wa kampuni ya bia ya Serengeti, Aman Kimaro( Kulia) akimkabidhi funguo ya Limo Bajaji Mshindi wa shindano la ‘Tutoke na Serengeti’ Godfrey Longino Mpiruka ( kushoto) na katikati ni mwakilishi toka kampuni ya BPESA, Balbo Kayombo. Katika hafla iliyofanyika Tabata Garden jijini Dar es Salaam. Kwa upande mwingine Bw. Mfaume Hassan Mbwile mkazi wa Mbagala nae pia alikabidhiwa zawadi yake ya Limo Bajaj katika bar ya Rich Hill Kongowe.

Meneja mauzo wa Kampuni ya Bia ya Serengeti Kanda ya Mbagala na Kigamboni Saidi Masalu (kushoto) akikabidhi funguo ya Limo Bajaji yenye thamani ya Tsh. Milioni 9 kwa Bw. Mfaume Hassan Mbwile mkazi wa Mbagala ambaye nae pia aliibuka mshindi katika kampeni ya Tutoke na Serengeti.Hafla hiyo ilifanyika katika baa ya Rich Hill Kongowe. Kwa upande mwingine mshindi wa nne wa shindano la ‘Tutoke na Serengeti’ Bw.Godfrey Longino Mpiruka nae alikabidhiwa zawadi ya Limo Bajaj katika hafla iliyofanyika Tabata Garden jijini Dar es Salaam.

Mshindi wa shindano la ‘Tutoke na Serengeti’ Godfrey Longino Mpiruka ( kushoto) akionesha funguo ya Limo bajaji yenye thamani ya tsh milioni tisa mara tu baada ya kukabidhiwa, kulia ni Afisa mauzo wa kampuni ya bia ya Serengeti, Aman Kimaro na katikati ni mwakilishi toka kampuni ya BPESA, Balbo Kayombo, hafla ya makabidhiano hayo ilifanyika Tabata Garden jijini Dar es Salaam. . Kwa upande mwingine Bw. Mfaume Hassan Mbwile mkazi wa Mbagala nae pia alikabidhiwa zawadi yake ya Limo Bajaj katika halfa iliyofanyika katika Bar ya Rich Hill Kongowe

Mshindi wa shindano la Tutoke na Serengeti Mfaume Hassan Mbwile akiwa mwenye furaha mara baada ya kukabidhiwa Limo Bajaji yenye thamani ya Sh. Milioni 9. Hafla hiyo ilifanyika jana katika baa ya Rich Hill Kongowe jana. Huku nae Bw. Godfrey Longino Mpiruka akikabidhiwa zawadi yake ya Limo Bajaj katika hafla iliyofanyika Tabata Garden jijini Dar es Salaam. Kwa upande mwingine mshindi wa nne wa shindano la ‘Tutoke na Serengeti’ Bw.Godfrey Longino Mpiruka nae alikabidhiwa zawadi ya Limo Bajaj katika hafla iliyofanyika Tabata Garden jijini Dar es Salaam.

Meneja Vipoozeo na mwonekano wa kampuni ya bia ya Serengeti,  Baraka Mandara (kushoto) akimkabidhi funguo ya Limo Bajaji mpya yenye thamani ya tsh milioni tisa , mshindi wa shindano la “Tutoke na Serengeti “ linaloendeshwa na kampuni hiyo, Godfrey Longino Mpiruka (kulia) katikati ni Afisa mauzo wa kampuni ya bia ya Serengeti, Aman Kimaro na mwakilishi toka kampuni ya BPESA, Balbo Kayombo, hafla ya makabidhiano hayo ilifanyika Tabata Garden jijini Dar es Salaam. Kwa upande mwingine Bw. Mfaume Hassan Mbwile mkazi wa Mbagala nae pia alikabidhiwa zawadi yake ya Limo Bajaj katika halfa iliyofanyika katika Bar ya Rich Hill Kongowe