BONGOCLAN Tanzania

Website yetu ipo katikamatengenezo

Copyright © BongoClan Tanzania™ | Published By Gooyaabi Templates | Powered By Blogger
Design by WebSuccessAgency | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com

HABARI ZILIZOSOMWA SANA WIKI HII

Wema ni kweli anavuta Bangi???

jux2Looool ma bro men wa Bongo flavor bana hawawezi kwenda kuongelea maisha yao kuanzia sasa na yanayoendelea kila siku about exs khaaaa Jux ameamua kufunguka alikuwa kwenye mahaba mazito na mwanadada mlimbwende Jackline Wolper haaaaaa haki mie mchokozi ila ngoja niulize Jackie whyyyyyy? wewe ndio unavumbua vipaji halafu vinasepa why??????? tuliona kwa Ali K, Dimondo na Jux why jacky au unawasafishia nyota nini wan'gaeee wewe ndukiiii
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEisY6okYR4rDVcxr6KdPKfBH-igrYoFDapHpr9uflnkKBgU0F00qJlCE2SGWBXs1PYF99F130DJy_tqVoETZZG_e741QwugfQdXfRyoa3nE_E9F-k7IOcNKaF06-GKlfICiS3DaCaSgu2s/s1600/jack.jpg
 ila Jux sasa hivi ananogaaa daaah achia mbali mtonyo arifeeee unakun'gaza hata kama hun'gaii , fanyeni kazi kwa bidii bandugu mpate hela msikalie majungu ....

sikiliza kutoka kwa Jux ila Jux ningekuwa wewe ningerudi China nikamaliza shule aiseeee unajua natamani kukifahamu kichina na level uliyofikia ulikuwa unaenda poa ,  hizi Bongo flavor ungekuwa una beep tuu unitafute kwa ushaurii