Hizi ni picha zikionyesha show ya mkali Diamond Platnumz akiwa na kundi zima la Wasafi kwenye stage wakati wa show yake. Yeye binafsi kupitia account yake ya Instagram Diamond Platnumz amepata kuyaandika haya maneno:
''Ntakuwa Mchoyo wa fadhira sana kama sintochkua Muda huu kuwashkuru wananchi wote waliokuja jana kutusupport vijana wao....hakika ilikuwa ni moja ya Tamasha la Kihistoria sana... Wengine maskini walifika toka asubuhi na kuvumilia hadi usiku wa manane, lakini naamini yote ni mapenzi ya dhati kwa wasanii wao na sie tunawashkuru sana... Shukran na Heshima Nyingi pia ziwafikie @TiGo_Tanzania kwa kuweza kutueka karibu na Mashabiki zetu pendwa Mwanzoni huu mwa Mwaka..tafadhali naombeni Ruksa niwaekee picha sasa ��''
Tizama picha zaidi: