BONGOCLAN Tanzania

Website yetu ipo katikamatengenezo

Copyright © BongoClan Tanzania™ | Published By Gooyaabi Templates | Powered By Blogger
Design by WebSuccessAgency | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com

HABARI ZILIZOSOMWA SANA WIKI HII

Wema ni kweli anavuta Bangi???

Pharrell William ni miongoni mwa wanamusic wachache duniani ambao wanafanya kazi zote katika industry ya music yaani kuandaa, kuandika na kuimba pia,
Akiwa ni member wa magroup mawili ya music maarufu nchini Marekani yaani The Neptunes and N.E.R.D Pharrell amekuwa katika pic bora kwa muda wote.


Na hizi ni ngoma alizotia sauti yake ambazo wewe hutakiwi kuzikosa kwako.


'She Wants To Move' - N*E*R*D



'Frontin'' - Pharrell Williams



'Can I Have It Like That?' - Pharrell Williams feat. Gwen Stefani



'Marilyn Monroe' - Pharrell Williams



'Rock Star' - N*E*R*D



'Blurred Lines' - Robin Thicke feat. Pharrell Williams & T.I.



'Boys' - Britney Spears feat. Pharrell Williams



'Drop It Like It's Hot' - Snoop Dogg feat. Pharrell