BONGOCLAN Tanzania

Website yetu ipo katikamatengenezo

Copyright © BongoClan Tanzania™ | Published By Gooyaabi Templates | Powered By Blogger
Design by WebSuccessAgency | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com

HABARI ZILIZOSOMWA SANA WIKI HII

Wema ni kweli anavuta Bangi???

Haya promota VICTOR aliye Andaa Show ya Diamond London kashikiliwa na polisi, walionunua ticket kuona show yake wamegoma kuondoka hadi warudishiwe pesa na wamerudishiwa.

Diamond hakuonekana ukumbi wa La Face huko London ambapo alitangaza kutumbuiza, na kesho alidai usiku wa tar 20 atatumbuiza ujerumani bure. na hadi mida ile hakujulikana alipo au imekuwaje...tusubirie

Sasa huyu kijana amekuwa anapata bahati mbaya hivi..... Maana inakuwaje juzi iwe ujerumani leo london michezo ya ajabu inamtokea?

HAYA UKWELI TUUSUBIRIE KUUSIKIA AS NDIO BADO HAKUJAKUCHA SASA.... ukweli/uongo utakuja

ila mie nimechoka kumsikia eti show show inabidi management yake ijifunze kitu wasiburuzweeeeeee...tutasikia. inasikitisha sie tunaependa miziki yake na jitihada zake

*******
SIJUI NINI KINAENDELEA JAMANI ILA NAANZA KUMUONEA HURUMA AS EARLIER KWA FB PAGE YAKE ALIANDIKA HIVI

"Tafadhali, nikikuomba unipangie list ya nyimbo ambazo ungependa niziimbe usiku wa leo pale #LAFACE_CLUB London utanipangiaje???...
(if i ask you to arrange a playlist for my Performance tonight at #LAFACE_CLUB #LONDON how would it be.....?)"

ALIKUWA TAYARI KABISAKUTUMBUIZA...... HAYA TUTASIKIA

********
SASA CHA KUSHANGAZA ZAIDI NI KUWA

Masaa kama 7 yaliyopita niseme kama saa 5 usiku mida ya London, alirusha kideo kikionyesha ukumbi huko Ujerumani atakapo piga ile show yake siku ya jumamosi tar 20 Sept (BURE) kufidia yaliyotokea siku ambayo akufanya show. the huku iko hivi ameacha tena sohooo huko London la kutofanya show

Itabidi ajibu kuwa alikuwa wapi mida aliyotakiwa kuwa ukumbini London, nimeona ameanza kuitwa tapeli...

WEWE DIAMOND KAMA ULIKUWA UNAJUA UTAKUWA UJERUMANI KWANINI HAUKURUSHA UJUMBE KUOMBA MSAMAHA FANS WAKO WASISUMBUKE KWENDA?????

TUSUBIRIE STORY ZA KAPUNI....VIDEO TENA MNASIKIKA MNAONGEA KISWAHILI...HOW COME? TUFAFANULIE TUJUE MAANA IKIWA ULISAFIRI KWENDA KWA MWEST KUMFURAHISHA MMMHHHH...SEMA MAANA LAZIMA UTASEMA WA UK HAWAKUKUPA PESA MLIZOAHIDIANA AU???

****
OK DIAMOND KWA INSTA KAMRUSHA MKAKA PICHA NA KUANDIKA HAYA

Tafadhari ndugu zangu wa UK!!!....kuweni makini sana na promoter huyu (Victor - Dj rule) mnaposikia kaandaa show, party au Hafla yoyote...ni vyema kuziepuka na kutohudhuria kabisa kwasababu ni tapeli.... si unajua aisifiae mvua imemnyeshea... basi mie nimeloa kabisa!"

HIII NI KAMA SAA MOJA ILIYOPITA YAANI SAA 11:40 ASUBUHI MIDA YA LONDON


MAJIBU NAYO MOJAWAPO NI

"embu jieleze vizuri sasa maana wengi tukisikia show zako hatutakuja hata kwa kunusa mlango. kwanini unamuita tapeli? juzi ujerumani ulisema hivyohivyo yule kaka tapeli embu sema acha uswahili na kutapeli jina ni lako kamahaujifunzi shauri yako. sema elezea nini sio kukmchafua mwenzio bila proof"

"A piece of advice naomba uwe na mwanasheria wakuangalia hiyo mikataba sasa kuna vitu vimejificha nyuma ya kutaka kukuharibiaa kazi shemu letu kuwa makini na jitahidi uwe na mwanasheriaa binadamu sisi wabaya walaaahi nakuambia kuna kitu tuu hapa c bure"

"Kwanza kama wasemvyo wadau, hizo ni njama, shtukia chezo na ujipange kimataifa na kimaarifa zaidi. Set new terms and hire a professional lawyer kwa ajili ya kuingia mikataba ya kazi zako na kusimamia. Haya yasikuyumbishe wala kukurudisha nyuma bali yawe ngazi ya kufikia kule wasikotaka ufike. @diamondplatnumz"