BONGOCLAN Tanzania

Website yetu ipo katikamatengenezo

Copyright © BongoClan Tanzania™ | Published By Gooyaabi Templates | Powered By Blogger
Design by WebSuccessAgency | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com

HABARI ZILIZOSOMWA SANA WIKI HII

Wema ni kweli anavuta Bangi???

Jokate aliwahi kukiri kwenye exclusive na millardayo.com kwamba aliwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Diamond kwa muda usiozidi miezi miwili ambapo wakati yuko na Diamond zilitoka stori nyingi pia kuhusu uhusiano wa Wema na Jokate kuingia matatizoni.
Ni stori ambazo ziliandikwa sana na inawezekana mpaka leo watu wengine walikua wanaamini Jokate na Wema hawawezi kukaa meza moja ila Aug 9 2014 Wema Sepetu baada ya kuwasili Mwanza kwa ajili ya show ya Serengeti Fiesta 2014 baadae CCM Kirumba amepost hii picha.
Screen Shot 2014-08-09 at 2.25.00 PMWakiwa kwenye ndege ya Fastjet Wema na Jokate wakitokea Dar es salaam walipiga selfie ambayo Wema ameipost kwenye instagram page yake na kuandika hayo maneno hapo chini akimaanisha wako poa sasa hivi.