BONGOCLAN Tanzania

Website yetu ipo katikamatengenezo

Copyright © BongoClan Tanzania™ | Published By Gooyaabi Templates | Powered By Blogger
Design by WebSuccessAgency | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com

HABARI ZILIZOSOMWA SANA WIKI HII

Wema ni kweli anavuta Bangi???

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiGQcaOXFpT_FIAWRbzgANkkCzEajt9ZNWkgyaaAU_-5A84YygwKSclDKMYmqcRW8z2iXVudHF3O9n4GquOlmxuNhihO60Ym-ijWA6FGqIbjzQvtOJ3iXlI_feTYhTevNs3PVzXuA9jJ-U/s1600/IMG_0258.JPGJapokuwa ni show ya kwanza kufanyika kwenye msimu huu wa Serengeti Fiesta 2014, inaonekana itakuwa miongoni mwa show zitakazovunja rekodi kwenye idadi ya mahudhurio.
Show ilifanyika CCM Kirumba kwa amani huku ukaguzi ukifanywa mlangoni na Polisi kwa kila aliekua akiingia ambapo miongoni mwa wakali waliochukua nafasi kwenye stage ni Diamond Platnumz na Nay wa Mitego na hit song yao ya ‘muziki gani’ ambayo unaweza kutazama walichofanya hapa chini on AyoTV
credit : Millard Ayo